JE INAWEZEKANA KUACHA KABISA KUANGALIA PICHA ZA NGONO NA
KUJICHUA?
Je inawezekana kuacha kuangalia
pornography na kujichua (kupiga punyeto)? Ndiyo inawezekana KABISA
lakini lazima ujitoe maana hizo addiction husababisha ubongo pamoja na mwili
kuwa watumwa wa hizo tabia
Watu wengi hujaribu kupambana na
miili yao lakini inakuwa ni vigumu kuweza kuishinda lakini pia wapo vijana
wakike kwa wakiume wanaopenda kuwa watakatifu lakini tabia hii imewafanya
wapoteze ujasiri na washindwe kumtumikia Mungu kwa kujiamini hivyo nataka nitoe
hatua za kufuata kwa wale ambao wapo tayari kuacha tabia hii
ACHA KUTUMIA PRODUCT ZA VIWANDAJI ZINAKUJA KAMA CHAKULA
Product za viwandani ni kitu
hatari mno Ila watu hawajui ACHA kutumia vinywani vyote Kama Pepsi,
Coca-Cola,sayona, energy na vinywani vingine vinywani hivi ama product hizi
husababisha chemical reaction Kali sana kutokea katika mwili Jambo ambalo
hupelekea baadhi ya hormone kuachiwa kwenye damu na wakati hazihitajiki kwa
muda huo,hivyo hizo hormone au hizo chemical reactions husababisha mwili na
ubongo kuriact na matokeo yake mihemko ya mwili huwa ni mikubwa sana hii
ikiwemo mtu kuwa na hasira sana,kukosa Raha,mwili kuwaka tamaa bila sababu za
msingi
PUNGUZA KUNYWA CHAI AU KAHAWA
hili linaweza likakushangaza
lakini Chai huwa si kitu Cha kawaida kwa sababu ndani ya majani ya chai Kuna
nicotine na caffeine ambayo huamsha au kustimulate mwili,ubongo hushtuka na
damu huenda mbio hii husababisha mwili kuchachamaa kumbuka nicotine na caffeine
ni Aina ya madawa ambayo ni hatari lakini wenye viwanda wamekushawishi kwamba
viko salama Wala hakuna usalama, Asubuhi tafuta juice,maziwa ambayo hayajatiwa
majani ya chai au chemsha maji ya Moto unywe pia epuka au tumia sukari ama
chumvi kidogo sana kwenye vitu ama vinywaji unavyotumia kwa mfano badala ya
kununua juice ya matunda iliyotiwa sukari nunua matunda uyale kukwepa Ile
sukari ya kiwandani
WEKA RATIBA YA KUFUNGA NA KUOMBA KWA WIKI SIKU MBILI KISHA HUDHURIA IBADA ZA KATIKATI YA WIKI HATA KAMA NI MARA MOJA KWA WIKI
Unapojiwekea utaratibu huu wa kufunga na kuomba unaimarika kiroho lakini pia unajitengenezea displine kwenye maisha yako pia hiyo itakutengenezea uvumilivu na kujifunza kumtumainia Mungu na kumuomba katika zile changamoto unazopitia pia mfungo huuweka mwili katika displine hivyo itakusaidia kuweza kukontrol mwili pamoja na akili yako
HAKIKISHA UNAJIONDOA KWENYE MITANDAO YOTE INAYOONYESHA WATU
WAKIWA NUSU UCHI, AU KUONYESHA MAKALIO YA WADADA
Jiondeo kwenye mitandao ambayo inatrigger akili yako na kukuchochea au kukushawishi uangalie au kuwaza NGONO Kama mitandao Fulani haukuingizii pesa yoyote basi hauna haja hata ya kuwa member wa mitandao huyo
PUNGUZA MATUMIZI YA VIFAA VINAVYOSABABISHA UTAZAME VITU VISIVYO
FAA
Upuka kutumia sana computers, smartphones, kuangalia TV au movies maana vitu hivyo huleta ushawishi mkubwa katika kuangalia picha zisizofaa wakati mwingine unalazimika kuviweka mbali na wewe kwa muda
PENDA KUOMBA NA USOME NENO LA MUNGU
USIKU ni muda nzuri wa kuomba
pamoja na kutafakari Yale ya Mungu hivyo hukupa nguvu za kiroho la sivyo
shetani atakupandikizia magugu wakati umelala na umejisahau kabisa
